Rais
Yoel Museven ambaye ni Muumini wa Kanisa la "Evangelical Christian"
ametangaza kuwa ataweka sahihi muswada wa kupinga Suala la Mapenzi ya
Jinsia moja a.k.a Homosexual. Muswada huo ambao kwa mara ya kwanza
ulianza kupata nguvu mwaka 2009 na watu mbalimbali nchi Uganda kuanza
kujitokeza hadharani kwa ajili ya Kujitangaza kuwa wao ni waumini wa
mapenzi ya Jinsia moja ulipelekea Rais Museven kuwapa Wataalam kazi ya
Kuchunguza kama mapenzi ya Jinsia moja yana athari kwa Mwanadamu.
Wakati Wanasayansi hao wakiendelea na uchunguzi wao Kanisa la Nchini Uganda lilikuwa kwenye maombi kuhakikisha jambo hilo halipati kibari ndani ya nchi yao. Baada ya Wachunguzi kuwasilisha maoni yao kwa Rais, Ulimwengu Mzima ulikuwa ukisubiria kauli ya Rais huyo angesema nini, pasipo kumung'unya maneno akautangazia ulimwengu kama misaada basi bora akose ila atakayepatikana anafanya mapenzi ya Jinsia moja basi gereza la maisha litakuwa likimsubiria. Rais Obama pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza wameachwa na butwaa kwa kuwa wao ni kati ya Watu wanao support mapenzi ya Jinsia moja.
Kitendo hiki ambacho kinaonekana ni Ushindi kwa Kanisa la Uganda limechora rasmi mstari wa uhasama kati ya Kanisa hilo na Wahisani wa nchi za Magharibi ambao wao suala la ndoa za jinsia moja na mapenzi ya jinsia moja ni haki ya binadamu inayotambulika.
Ikumbukwe Juzi kati Rais Wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania alipokuwa nchini Uingereza aliulizwa swali kama anadhani Watanzania Wako tayari kuruhusu Ushoga na Usagaji, Rais wetu akasema "hadhani kama tuko tayari kwa hilo kwa sasa.
Sources: http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda_Anti-Homosexuality_Bill
http://www.sbs.com.au/news/article/2014/02/17/uganda-president-sign-anti-gay-bill
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20754891
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20754891
Wakati Wanasayansi hao wakiendelea na uchunguzi wao Kanisa la Nchini Uganda lilikuwa kwenye maombi kuhakikisha jambo hilo halipati kibari ndani ya nchi yao. Baada ya Wachunguzi kuwasilisha maoni yao kwa Rais, Ulimwengu Mzima ulikuwa ukisubiria kauli ya Rais huyo angesema nini, pasipo kumung'unya maneno akautangazia ulimwengu kama misaada basi bora akose ila atakayepatikana anafanya mapenzi ya Jinsia moja basi gereza la maisha litakuwa likimsubiria. Rais Obama pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza wameachwa na butwaa kwa kuwa wao ni kati ya Watu wanao support mapenzi ya Jinsia moja.
Kitendo hiki ambacho kinaonekana ni Ushindi kwa Kanisa la Uganda limechora rasmi mstari wa uhasama kati ya Kanisa hilo na Wahisani wa nchi za Magharibi ambao wao suala la ndoa za jinsia moja na mapenzi ya jinsia moja ni haki ya binadamu inayotambulika.
Ikumbukwe Juzi kati Rais Wa Jamuhuri ya Muungano Wa Tanzania alipokuwa nchini Uingereza aliulizwa swali kama anadhani Watanzania Wako tayari kuruhusu Ushoga na Usagaji, Rais wetu akasema "hadhani kama tuko tayari kwa hilo kwa sasa.
Sources: http://en.wikipedia.org/wiki/Uganda_Anti-Homosexuality_Bill
http://www.sbs.com.au/news/article/2014/02/17/uganda-president-sign-anti-gay-bill
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20754891
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-20754891
0 comments:
Post a Comment