hadi leo jamaa anawaza atarudi vipi nyumbani kwake, kwani alimuaga mke wake anaenda China kwa ndege ya Malaysia ambayo ndiyo hiyo iliyopotea, tena alisindikizwa mpaka airport, kumbe akazama mtaa wa tatu kwa nyumba ndogo, sasa ndege imepotea na abiria wote. je akirudi kwake atajieleza vipi aelewekee...
Monday, March 24, 2014
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment