Habari Mpya

Monday, February 29, 2016

MREMBO AMBER ROSE AJIBU MASHAMBULIZI TOKA KWA KANYE WEST

Baada ya Kanye West kumtukana Wiz Khalifa na Amber Rose, Wiz aliamua kukaa kimya bila kujibu chochote ila Amber Rose hajakubali.

Kupitia account yake ya twitter Amber alimwandikia Kanye West “are u mad I’m not around to play in ur ahole anymore? FingersInTheBootyAssBitch
Twit nyingine iliyofata ni  “Now you wanna delete your tweets cuz Muva has arrived? TwitterFingersUrGettingBodiedByAStripperN***a
Kanye West alifanya kosa kumuongelea mtoto wa Wiz na Amber kwenye issue hii.
amber










MUHIMU KWAKO....!!!
kama wewe ni mtafutaji wa kujitegemea au unatarajia kuja kuwa.... zingatia hii

JOINT SCOPE LTD imedhamiria kutoa msaada wa ushauri bure, kwa wanaotarajia au wanataka kusajili BUSINESS NAME au COMPANY LIMITED n.k.
 
hapa utaelezwa mchakato mzima na kila kinachohitajika wakati utakapotaka kufanya usajili wa kampuni au Jina la Biashara kupitia Brela, ambayo ndiyo mamlaka pekee Tanzania yenye mdhamana ya kusajili Kampuni (Company LTD) na Jina la Biashara (Business Name), Logo n.k.
 
Tumeamua kutoa huduma hii ya ushauri bure kutokana na kero za matapeli tulizokutana nazo na tulishindwa kuwatambua kutokana  na kutoweza watambua kwa kutojua ukweli halisi wa vinavyohitajika wakati wa usajili wa Kampuni ya JOINT SCOPE LTD.
 
"Ni vyema Kutafuta Elimu ya Jambo Unalotaka Kufanya Kwanza Kabla ya Kuanza Kufanya"

Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905

E-mail; jointscope@gmail.com

P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania

Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!


ToGether We Can.....!!!!!

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: MREMBO AMBER ROSE AJIBU MASHAMBULIZI TOKA KWA KANYE WEST Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top