Baada ya Kanye West kumtukana Wiz Khalifa na Amber Rose, Wiz aliamua kukaa kimya bila kujibu chochote ila Amber Rose hajakubali.
Kupitia account yake ya twitter Amber alimwandikia Kanye West “are u mad I’m not around to play in ur ahole anymore? FingersInTheBootyAssBitch”
Twit nyingine iliyofata ni “Now you wanna delete your tweets cuz Muva has arrived? TwitterFingersUrGettingBodiedByAStripperN***a”
Kanye West alifanya kosa kumuongelea mtoto wa Wiz na Amber kwenye issue hii.
MUHIMU KWAKO....!!!
kama wewe ni mtafutaji wa kujitegemea au unatarajia kuja kuwa.... zingatia hii
JOINT SCOPE LTD imedhamiria kutoa msaada wa ushauri bure, kwa
wanaotarajia au wanataka kusajili BUSINESS NAME au COMPANY LIMITED n.k.
hapa utaelezwa mchakato mzima na kila kinachohitajika wakati utakapotaka
kufanya usajili wa kampuni au Jina la Biashara kupitia Brela, ambayo
ndiyo mamlaka pekee Tanzania yenye mdhamana ya kusajili Kampuni (Company
LTD) na Jina la Biashara (Business Name), Logo n.k.
Tumeamua kutoa huduma hii ya ushauri bure kutokana na kero za matapeli
tulizokutana nazo na tulishindwa kuwatambua kutokana na kutoweza
watambua kwa kutojua ukweli halisi wa vinavyohitajika wakati wa usajili
wa Kampuni ya JOINT SCOPE LTD.
"Ni vyema Kutafuta Elimu ya Jambo Unalotaka Kufanya Kwanza Kabla ya Kuanza Kufanya"
Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905
E-mail; jointscope@gmail.com
P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania
Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!
ToGether We Can.....!!!!!
0 comments:
Post a Comment