Habari Mpya

Sunday, February 28, 2016

UNAJUA KWANINI WANAWAKE AU WASICHANA WENYE MAKALIO MAKUBWA HAWAOLEWI (wengi wao)






Nimefanya uchunguzi yakinifu na nikajiridhisha kwa 95% kuwa sie wanawake wanene na wenye makalio makubwa huwa ni ngumu sana kuolewa, kwa nini?

1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.

2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.







Hayo sijayasema mimi John Minja ila ni mmoja kati ya wadau wangu.

sasa tuambiane je ni kweli...?????
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: UNAJUA KWANINI WANAWAKE AU WASICHANA WENYE MAKALIO MAKUBWA HAWAOLEWI (wengi wao) Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top