Habari Mpya

Saturday, July 21, 2012


kama mnavyoona hapa ni darasa linaendelea, ata mudi ya kusoma haipo.....

na hii ni baadhi ya familia zinazo teseka na uhitaji wa chakula...

wenzetu wanawaza mambo ya technology sisi bado twaumiza kichwa kuboresha barabara....



bado najiuliza hii hali ni nani alaumiwe, ni mwananchi au kiongozi??????? na sisi watanzania ni tuna umasikini wa hadhi au hali???????
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top