| mwanzo wa safari toka kanisani Bethel Mwembesongo |
| watu wakiwa na hamu ya kufika eneo la tukio... |
| kabla ya mengineyo... tukaaanza na chai.. watu wapate nguvu |
| mchungaji Olembae akaja kwa ajili ya neno la ufunguzi |
| baada ya ufunguzi.... tukaanza na presentation ya TIME ROBERING... | ikiongozwa na Dr. Lazaro Busagala |
| magrupu yakatengwa kwa kuandaa mada |
| magrupu kuandaa mazingira ya kuwasilisha mada zao |
| uwasilishaji wa mada |
| Mwl. Dr. Lazaro Busagala akifanya mjumuisho wa mada |
| moja kati ya michezo... kunywa soda ya cocacola mfululizo mwanzo mwisho |
| segment ya interview ikafika tukajua mengi sana |
| Miss Neema Sumari akidadavu mambo |
| after interview... kwa wanaohitaji contancts kwa msaada zaidi |
| kuonyesha mapozi nako ilikuwa ni moja ya kusudio |
| muda ukafika wa kazi kuu iliyotuleta hapa duniani... (KULA) |
| muda wa kujuana zaidi na kuonyesha upendo wa kweli |
| kama kawaida.... kutimiza ukweli wa furaha ya sherehe |
| mchezo wa kukimbia na kupasua pulizo ukafika.... full raha... |
| baadae nje.... mcezo wa kula biskuti, ilyowekwa katika paji la uso.. pasipo kuishika na mkono |
| ongeza juhudi dada |
| bado kidogo anashinda... |
| bingwa wa kila mwaka katika mchezo huu.... akionyesha ufundi wa kushusha biskuti mdomoni bila kushika |
| tukaja katika mbio za magunia kwa wanaume... |
| kisha wakafuata wadada |
| mchezo wa kufunga macho na kumlisha mtu uliye ambiwa kumlisha bila ya kufungua macho |
| haya mabaunsa wakiume wakaonyesha ubaunsa wao kwa kuvuta kamba |
| baadaye wadada nao wakaonyesha yao |
| wasaa wa dhawadi kwa washindi wa michezo yooote |
| baadhi ya washindi wakifurahiya zawadi zaoo |
| member wooote walioshiriki |
| after event... at Mazimbu Campus SUA |
0 comments:
Post a Comment