Habari Mpya

Sunday, June 09, 2013

GET 2 GETHER 2013, kwa wanafunzi wa vyuo vya morogoro, wanaosali Bethel Revival Temple, imekuwa ya pekeee kwa kila kitu.. hakuna aliyenuna kuanzia mwanzo hadi mwisho... shuhudia baadhi ya picha za matukio mbalimbalil

mwanzo wa safari toka kanisani Bethel Mwembesongo


watu wakiwa na hamu  ya kufika eneo la tukio...

kabla ya mengineyo... tukaaanza na chai.. watu wapate nguvu


mchungaji Olembae akaja kwa ajili ya neno la ufunguzi


baada ya ufunguzi.... tukaanza na presentation ya TIME ROBERING... ikiongozwa na Dr. Lazaro Busagala

magrupu yakatengwa kwa kuandaa mada



magrupu kuandaa mazingira ya kuwasilisha mada zao

uwasilishaji wa mada




Mwl. Dr. Lazaro Busagala akifanya mjumuisho wa mada


moja kati ya michezo... kunywa soda ya cocacola mfululizo mwanzo mwisho

segment ya interview ikafika tukajua mengi sana

Miss Neema Sumari akidadavu mambo

after interview... kwa wanaohitaji contancts kwa msaada zaidi

kuonyesha mapozi nako ilikuwa ni moja ya kusudio

muda ukafika wa kazi kuu iliyotuleta hapa duniani... (KULA)

muda wa kujuana zaidi na kuonyesha upendo wa kweli



kama kawaida.... kutimiza ukweli wa furaha ya sherehe

mchezo wa kukimbia na kupasua pulizo ukafika.... full raha...


baadae nje.... mcezo wa kula biskuti, ilyowekwa katika paji la uso.. pasipo kuishika na mkono

ongeza juhudi dada

bado kidogo anashinda...

bingwa wa kila mwaka katika mchezo huu.... akionyesha ufundi wa kushusha biskuti mdomoni bila kushika



tukaja katika mbio za magunia kwa wanaume...


kisha wakafuata wadada



mchezo wa kufunga macho na kumlisha mtu uliye ambiwa kumlisha bila ya kufungua macho

haya mabaunsa wakiume wakaonyesha ubaunsa wao kwa kuvuta kamba


baadaye wadada nao wakaonyesha yao


wasaa wa dhawadi kwa washindi wa michezo yooote











baadhi ya washindi wakifurahiya zawadi zaoo

member wooote walioshiriki



after event... at Mazimbu Campus SUA

  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: GET 2 GETHER 2013, kwa wanafunzi wa vyuo vya morogoro, wanaosali Bethel Revival Temple, imekuwa ya pekeee kwa kila kitu.. hakuna aliyenuna kuanzia mwanzo hadi mwisho... shuhudia baadhi ya picha za matukio mbalimbalil Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top