 |
Diamond (mwanamuzi maarufu TZ) akiwa na waimbaji mbalimbali, kwenye studio za SABC, wakiwemo na waimbaji wa kundi la Joyous Celebration
Mwimbaji
wa muziki wa nje ya kanisa nchini Nasibu Abdul almaarufu kama Diamond
Platnumz ni mmoja kati ya waimbaji wengine wengi wa Afrika walioshiriki
pamoja na kundi maarufu la Joyous Celebration la nchini Afrika ya kusini
kurekodi wimbo wa pamoja kupiga vita gonjwa la ebola, wimbo ambao ni
wazo na utunzi wa Joyous Celebration.
Kazi ya kurekodi video wimbo huo imefanyika katika studio za shirika la
utangazaji la Afrika ya kusini SABC nchini Afrika ya kusini huku umoja
huo wa wasanii walioimba wimbo huo wakitumia jina la wimbo maarufu
ulioimbwa na waimbaji nyota wa nchini Marekani kusaidia Afrika wa 'We
are the world wenyewe wakiongeza neno Afrika mbele yake.
Ukiacha kundi la Joyous pia kulikuwa na waimbaji wengine kutoka Afrika
ya kusini kama Mahottella Queens, Mafikizolo na wengineo pamoja na
waimbaji kutoka Nigeria na pande nyingine za Afrika, Tanzania ikiwa
imewakilishwa na mwimbaji huyo ambaye pia alijinyakulia tuzo tatu kati
ya nne alizokuwa anawania zilizokuwa zimeandaliwa na kituo maarufu cha
Channel O cha nchini humo. - See more at:
http://www.gospelkitaa.co.tz/2014/12/diamond-platnumz-arekodi-wimbo-na.html#.dpuf
|
|
|
|
|
|
|
mwimbaji wa muziki wa nje ya injili nchi Tanzania Nasibu Abdul, almaarufu kwa jina la Diamond Platnumz, ni mmoja kati ya waimbaji wengine wengi wa Afrika, walioshiriki pamoja na kundi maarufu kwa nyimbo za injili nchini Afrika kusini Joyous Celebration, kurekodi wimbo wa pamoja kupiga vita gonjwa la EBOLA, wimbo huo ambao ni wazo na utunzi wa Joyous Celebration
kazi ya kurekodi video ya wimbo huo, imefanyika katika shirika la utangazaji la SABC, nchini Afrika kusini, huku umoja huo wa wasanii walioimba wakitumia jina la wimbo maarufu la wimbo ulioimbwa na waiimbaji nyota nchini marekani wa kusaidia bara la Afrika "WE 'RE THE WORLD" ila wao wakiongezea Afrika mbele yake.
ukiacha kundi la Joyous pia kulikuwa na kundi la waimbaji wengine toka Afrika kusini kama Mahottella Queens, Mafikizolo, pamoja na waimbaji wengine tokea Nigeria na pande nyingine za Afrika.
Tanzania ikiwa imewakilishwa na mwimbaji huyo ambaye amejinyakulia Tuzo tatu, kati ya nne, alizokuwa anawania ambazo ziliandaliwa na kituo maarufu cha Chanel O, huko nchi Afrika kusini
 |
Baadhi ya waimbaji wa Joyous wakipata picha ya pamoja |
|
 |
Sylvester Funani wa Joyous, akiwa na waimbaji wa Mahottella Queens |
0 comments:
Post a Comment