Tabora. Kikosi cha Kuzuia
Ujangili Kanda ya Magharibi kinamsaka fisi mmoja kati ya wawili
waliowashambulia Samwel Gamalaya na kusababisha kifo chake na kumjeruhi
Kusekwa Ngeleja wakati wakikata kuni katika pori lililopo Kitongoji cha
Isukamahela Manispaa ya Tabora.
Fisi hao wawili walimshambulia kwa kumng’ata Gamalaya maeneo mbalimbali ya mwili na kusababisha kifo chake, huku wakimjeruhi Ngeleja mikono na miguu.
Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia Ujangili Kanda ya Magharibi, Charles Msilanga alisema jana (juzi) kuwa baada ya polisi kumpiga risasi fisi mmoja na kumuua, mwingine alikimbia.
Alisema wanaendelea kumsaka fisi huyo ili kuzuia madhara zaidi kwa wakazi wa kitongoji hicho.
“Fisi aliyekimbia anaweza kuleta madhara kwa watu na ndiyo maana tunamsaka kwa udi na uvumba,” alisema Msilanga.
Mwenyekiti wa kitongoji hicho, Iddi Cheyo alisema Gamalaya alifariki dunia baada ya kukaa muda mrefu bila matibabu tangu aliposhambuliwa na fisi hao.
Baadhi ya wakazi wa kitongoji hicho, Sophia William na Juma Kapambala walisema tukio hilo limewastaajabisha kwani kwa miaka mingi wanafanya shughuli zao ndani ya msitu huo bila kushambuliwa na wanyama.
“Tunafanya shughuli zetu katika msitu huu kwa miaka mingi bila kuvamiwa, lakini hatujaona mnyama kuingia eneo hilo,” alisema Sophia.
kwa hisani ya MWANANCHI
Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905
E-mail; jointscope@gmail.com
P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania
Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!
Fisi hao wawili walimshambulia kwa kumng’ata Gamalaya maeneo mbalimbali ya mwili na kusababisha kifo chake, huku wakimjeruhi Ngeleja mikono na miguu.
Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia Ujangili Kanda ya Magharibi, Charles Msilanga alisema jana (juzi) kuwa baada ya polisi kumpiga risasi fisi mmoja na kumuua, mwingine alikimbia.
Alisema wanaendelea kumsaka fisi huyo ili kuzuia madhara zaidi kwa wakazi wa kitongoji hicho.
“Fisi aliyekimbia anaweza kuleta madhara kwa watu na ndiyo maana tunamsaka kwa udi na uvumba,” alisema Msilanga.
Mwenyekiti wa kitongoji hicho, Iddi Cheyo alisema Gamalaya alifariki dunia baada ya kukaa muda mrefu bila matibabu tangu aliposhambuliwa na fisi hao.
Baadhi ya wakazi wa kitongoji hicho, Sophia William na Juma Kapambala walisema tukio hilo limewastaajabisha kwani kwa miaka mingi wanafanya shughuli zao ndani ya msitu huo bila kushambuliwa na wanyama.
“Tunafanya shughuli zetu katika msitu huu kwa miaka mingi bila kuvamiwa, lakini hatujaona mnyama kuingia eneo hilo,” alisema Sophia.
kwa hisani ya MWANANCHI
MUHIMU KWAKO....!!!
kama wewe ni mtafutaji wa kujitegemea au unatarajia kuja kuwa.... zingatia hii
JOINT SCOPE LTD imedhamiria kutoa msaada wa ushauri bure, kwa
wanaotarajia au wanataka kusajili BUSINESS NAME au COMPANY LIMITED n.k.
hapa utaelezwa mchakato mzima na kila kinachohitajika wakati utakapotaka
kufanya usajili wa kampuni au Jina la Biashara kupitia Brela, ambayo
ndiyo mamlaka pekee Tanzania yenye mdhamana ya kusajili Kampuni (Company
LTD) na Jina la Biashara (Business Name), Logo n.k.
Tumeamua kutoa huduma hii ya ushauri bure kutokana na kero za matapeli
tulizokutana nazo na tulishindwa kuwatambua kutokana na kutoweza
watambua kwa kutojua ukweli halisi wa vinavyohitajika wakati wa usajili
wa Kampuni ya JOINT SCOPE LTD.
"Ni vyema Kutafuta Elimu ya Jambo Unalotaka Kufanya Kwanza Kabla ya Kuanza Kufanya"
Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905
E-mail; jointscope@gmail.com
P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania
Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!
ToGether We Can.....!!!!!
0 comments:
Post a Comment