Habari Mpya

Wednesday, February 24, 2016

SOKWE AZALISHWA MTOTO KWA NJIA YA UPASUAJI NA PROPESA AMBAYE AMEWAZALISHA WANAWAKE.

 


Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.

Sokwe huyo anayetoka upande wa magharibi alizaliwa kupitia upasuaji usio wa kawaida baada ya mamaake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo la damu.

Alihitaji msaada wa kupumua, lakini sasa madaktari wanasema hali ya mama na mtoto iko shwari.

Madaktari wakimzalisha sokwe kwa njia ya upasuaji  

Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani, kisa cha hivi majuzi kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.

Sokwe huyo aliye na siku 11 alizalishwa na Professa David Cahill ambaye amewazalisha wanawake wengi kupitia upasuaji ,lakini ilikuwa mara yake ya kwanza kumzalisha sokwe.
''Mbali na kuwa na watoto wangu,huu ni ufanisi mkubwa kwangu,kitu ambacho sitoweza kusahau tena,''alisema.

Aliulizwa maoni yake baada ya mamaake sokwe huyo kwa jina Kera kuugua ugonjwa wakati ambapo alikuwa karibu kujifungua.
kwa hisani ya BBC





MUHIMU KWAKO....!!!
kama wewe ni mtafutaji wa kujitegemea au unatarajia kuja kuwa.... zingatia hii

JOINT SCOPE LTD imedhamiria kutoa msaada wa ushauri bure, kwa wanaotarajia au wanataka kusajili BUSINESS NAME au COMPANY LIMITED n.k.
 
hapa utaelezwa mchakato mzima na kila kinachohitajika wakati utakapotaka kufanya usajili wa kampuni au Jina la Biashara kupitia Brela, ambayo ndiyo mamlaka pekee Tanzania yenye mdhamana ya kusajili Kampuni (Company LTD) na Jina la Biashara (Business Name), Logo n.k.
 
Tumeamua kutoa huduma hii ya ushauri bure kutokana na kero za matapeli tulizokutana nazo na tulishindwa kuwatambua kutokana  na kutoweza watambua kwa kutojua ukweli halisi wa vinavyohitajika wakati wa usajili wa Kampuni ya JOINT SCOPE LTD.
 
"Ni vyema Kutafuta Elimu ya Jambo Unalotaka Kufanya Kwanza Kabla ya Kuanza Kufanya"

Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905

E-mail; jointscope@gmail.com

P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania

Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!

ToGether We Can.....!!!!!


  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: SOKWE AZALISHWA MTOTO KWA NJIA YA UPASUAJI NA PROPESA AMBAYE AMEWAZALISHA WANAWAKE. Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top