Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.
Sokwe huyo anayetoka upande wa magharibi alizaliwa kupitia upasuaji usio wa kawaida baada ya mamaake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo la damu.
Alihitaji msaada wa kupumua, lakini sasa madaktari wanasema hali ya mama na mtoto iko shwari.
Kumekuwa na sokwe wachache waliofanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua duniani, kisa cha hivi majuzi kikiwa kile cha San Diego Safari Park mwaka 2014.
Sokwe huyo aliye na siku 11 alizalishwa na Professa David Cahill ambaye amewazalisha wanawake wengi kupitia upasuaji ,lakini ilikuwa mara yake ya kwanza kumzalisha sokwe.
Aliulizwa maoni yake baada ya mamaake sokwe huyo kwa jina Kera kuugua ugonjwa wakati ambapo alikuwa karibu kujifungua.
kwa hisani ya BBC
MUHIMU KWAKO....!!!
kama wewe ni mtafutaji wa kujitegemea au unatarajia kuja kuwa.... zingatia hii
JOINT SCOPE LTD imedhamiria kutoa msaada wa ushauri bure, kwa
wanaotarajia au wanataka kusajili BUSINESS NAME au COMPANY LIMITED n.k.
hapa utaelezwa mchakato mzima na kila kinachohitajika wakati utakapotaka
kufanya usajili wa kampuni au Jina la Biashara kupitia Brela, ambayo
ndiyo mamlaka pekee Tanzania yenye mdhamana ya kusajili Kampuni (Company
LTD) na Jina la Biashara (Business Name), Logo n.k.
Tumeamua kutoa huduma hii ya ushauri bure kutokana na kero za matapeli
tulizokutana nazo na tulishindwa kuwatambua kutokana na kutoweza
watambua kwa kutojua ukweli halisi wa vinavyohitajika wakati wa usajili
wa Kampuni ya JOINT SCOPE LTD.
"Ni vyema Kutafuta Elimu ya Jambo Unalotaka Kufanya Kwanza Kabla ya Kuanza Kufanya"
Kwa Mawasiliano
Simu: 0712 479 905
E-mail; jointscope@gmail.com
P.O. Box 2574 Morogoro - Tanzania
Huduma hii ni Bure kwa watanzania Tu!
ToGether We Can.....!!!!!

0 comments:
Post a Comment