Habari Mpya

Friday, February 19, 2016

TOP 20 ya Ikulu zinazotumia magari ya kifahari duniani, Afrika zipo nchi 2 tu, Kenya ikiwemo


20 – Kenya
Kenya-Mercedes-Benz-Pullman-S600
Ikulu ya Kenya wanatajwa kutumia Mercedes-Benz Pullman S600 bei yake inatajwa kufikia dola 50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 100 za Kitanzania
19 – Italia
Lancia-Thesis
Italia wao wanatajwa kutumia gari aina ya Lancia Thesis yenye thamani ya dola 65,709 ambazo ni zaidi ya milioni 140 za kitanzania.
18 – Japan
185
Hii ndio gari inayotumiwa na Ikulu ya Japan Toyota Century Royal thamani yake ni dola 85,500 zaidi ya Tsh milioni 180 za kitanzania
17 – Singapore
171
Serikali ya Singapore inatajwa kutumia gari aina ya Mercedes-Benz S350L yenye thamani ya dola 85,995 ambazo ni zaidi ya milioni 185 za kitanzania. 
16 – Uzbekistan
Uzbekistan-Range-Rover-Supercharged
Ikulu ya Uzbekistan wanatumia Range Rover Supercharged bei yake ni dola 103,195 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 225
15 – Morocco
Mercedes-600-Pullman
Kwa Morocco inatumiwa Mercedes 600 Pullman bei yake ni dola 120,384 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 260
14 – Korea Kusini
144
Korea Kusini Hyundai Equus VL500 (550) Limousine yenye thamani ya dola 122,180 ndio inatumika katika nchi hiyo. yake thamani yake ni zaidi ya Tsh milioni 265
13 – Norway
136
Norway wanatumia Binz Limousine yenye thamani ya dola 128,351 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 280
12 – Brunei 
Rolls-Royce-Phantom-VI
Hii inaitwa Rolls Royce Phantom VI ina thamani ya dola 148,645 ambazo ni zaidi Tsh milioni 320
11 – Ujerumani
117
Ikulu ya Ujerumani wanatumia Mercedes-Benz S600L thamani yake dola 174,890 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 380
10 – India
103
Mercedes-Benz S600 (W221) Pullman Guard thamani yake ni dola 180,000 zaidi ya Tsh milioni 390
9 – Philippines
96
Mercedes-Benz W221thamani yake dola 250,547 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 540
8 – Urusi
84
Mercedes S-Class Limousine thamani yake ni dola 251,417 zaidi ya Tsh milioni 545
7 – Malaysia
76
Maybach 62 thamani yake ni dola 394,000 zaidi ya Tsh milioni 850
6 – UK
64
Jaguar XJ Sentinel thamani yake dola 455,025 zaidi ya Tsh milioni 990
5 – Thailand 
maybach-thailand
Maybach 62 Limousine thamani yake inafikia dola 500,000 zaidi ya Tsh bilioni 1
4 – Vatican 
Mercedes-Benz-M-Class
Mercedes-Benz M-Class bei yake inafikia dola 524,990 ambazo ni zaidi ya Tsh bilioni 1.1
3 – China
35
China wanatumia Hongqi Limousine ya dola 801,624 zaidi ya Tsh bilioni 1.7
2 – USA
shutterstock_Obama-Cadillac-One
Cadillac One hii inatajwa kuuzwa dola milioni 1.5 na hutumiwa na Rais wa Marekani Barack Obama zaidi ya Tsh bilioni 3.2
1 – Malkia wa Uingereza ndio anatumia gari yenye thamani kuliko zote.
116
Bentley State Limousine inatumiwa na Malkia wa Uingereza thamani yake ni dola 15,167,500 zaidi ya Tsh bilioni 33
  • Blogger Comments
  • Facebook Comments

0 comments:

Item Reviewed: TOP 20 ya Ikulu zinazotumia magari ya kifahari duniani, Afrika zipo nchi 2 tu, Kenya ikiwemo Description: Rating: 5 Reviewed By: mcjohnminja.blogspot.com
Scroll to Top